kamainaumasema
Member
- Sep 22, 2014
- 75
- 19
Husika na somo hapo juu!
Mwanangu, 2yrs, aakohoa sana, na hasa nyakati za usiku mkubwa, mara nyingi kuanzia saa 8 hadi kunakucha. Tumeenda Hosp, vipimo vya damu na mkojo majibu ni safi! Tumempa dawa ya Minyoo - VUMTREX SYRUP na anaimaliza leo, lakini hakuna dalili ya kifua kupona!
Hatua nyingine, tumeacha kumpa juice za dukani
Ahsanteni sana.
Mwanangu, 2yrs, aakohoa sana, na hasa nyakati za usiku mkubwa, mara nyingi kuanzia saa 8 hadi kunakucha. Tumeenda Hosp, vipimo vya damu na mkojo majibu ni safi! Tumempa dawa ya Minyoo - VUMTREX SYRUP na anaimaliza leo, lakini hakuna dalili ya kifua kupona!
Hatua nyingine, tumeacha kumpa juice za dukani
Ahsanteni sana.