Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Mamake anadai tangu amezaliwa Hali ilianza taratibu ila Sasa hivi ndo imeongezekaAmeanza lini kutapika?
Yah kutapika kwa watoto mara nyingi ni infection insitwa gastroenteritis lakini huwa inakwisha ndani ya masaa 48.Lina muda kidogo,hospital aliambiwa tatizo litaisha lenyewe
Angalia asiishiwe na maji mwilini, mpelekeni hospitali kubwa zaidi.Yah kutapika kwa watoto mara nyingi ni infection insitwa gastroenteritis lakini huwa inakwisha ndani ya masaa 48.
Umeulizwa swali muhimu hapa, ule mtindo wa kumlaza mtoto kifudifudi baada ya kunyonya na kumpiga piga mgongoni ili acheue huwa mnafanyaga hivyo?Huyo Mtoto Hacheulishwi!
Anacheulishwa,mamake nimemuuliza vizuri eti kaambiwa ni chango ,ila nataka niende mwenyewe hospital nikajue sababu sahihii ya Hali hiiUmeulizwa swali muhimu hapa, ule mtindo wa kumlaza mtoto kifudifudi baada ya kunyonya na kumpiga piga mgongoni ili acheue huwa mnafanyaga hivyo?