Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Wadau nina mtoto anamiaka 6 sasa lakini kila mbinu ninayotumia kumfanya aache kunyonya kidole inafeli
Nimejaribu kumpaka vitu vichungu kama pilipil nk
Nimejaribu kumfunga bandeji anaito
Alitoka jino la mbele na sasa naona kama linaanza kuota kwa juu ya fizi badala ya mahali pake
Plesa msaada wenu wadau
cc MziziMkavu
Nimejaribu kumpaka vitu vichungu kama pilipil nk
Nimejaribu kumfunga bandeji anaito
Alitoka jino la mbele na sasa naona kama linaanza kuota kwa juu ya fizi badala ya mahali pake
Plesa msaada wenu wadau
cc MziziMkavu
Last edited by a moderator: