Msaada, mtoto halali kama inavyotakiwa

Innocizy

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
1,736
Reaction score
1,056
hi doctors,kuna mwanangu ana umri wa mwaka mmoja sasa na sielewi kwann hapati usingizi.
yaani iwe mchana iwe usiku kulala ni kwa mbinde..mchana anaweza lala mara mbili lakini kila akilala ni kwa dakika zisizozidi 10-250 anaamka.
usiku akilala ni ananyonya usiku kucha na mama yake akiamka kwenda toilet na yeye anaamka,yaani mtu ukistuka na yeye anaamka.pia asubuhi na yeye anaamka kama anaenda kazini vile.hapati ule usingizi unaoitwa "wa mtoto mchanga"
naombeni msaada wenu huyu mwanangu anasumbuliwa na nini ktk umri huu mpaka usingizi wake uwe wa manati kiasi hiki:help::disapointed:

thank you in advance.
 
Kabla ya vyote fanya utafiti wako anashiba vile inatakiwa???

Sitamani kukwambia, mie mwanangu alinifanya mpaka nikasahau kitu inaitwa usingizi kama wiki hadi nikapungua kilo bila kutegemea. Kuja kugundua kumbe hashibi kabisaaa akianza kulia saa 12 jioni atanyamaza saa 4.45 mwendo ni huo mpaka asubuhi. Mbona alianza kunywa formula bila kutarajia akiwa na miezi 2 tu!
 
atakuwa hashibi,akila vizuri usiku akashiba,mbona mtasahau kama mna mtoto ndani,kama hapendi kula aachishwe nyonyo
 
Na wala tatizo sio kulia Bali usingizi....nashukuru wanangu huwa hawaliii hovyooo,sema huyuu issue ni kukosa usingizi.
 
Na wala tatizo sio kulia Bali usingizi....nashukuru wanangu huwa hawaliii hovyooo,sema huyuu issue ni kukosa usingizi.

hakikisha anashiba na anakunywa maji ya kutosha kabla ya kulala.then nguo anazo vaa wakati wa kulala zikoje??
 
Ni za kumruhusu mwili upumue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…