Mtoto amepewa dawa pungufu tofauti na ushauri wa doctor,aliandikiwa kutumia dawa 5ml ila nilipoenda kununua dawa pharmacy wakaandika apewe 2.5ml so wife akawa anampa kulingana na maelezo ya pharmacist's sijui kilichotokea maana nilimpa karatasi yenye maelezo ya doc sasa leo nimesoma ile karatasi aliyoiandika doctor nakuta imeandikwa 5ml ikimaanisha kwamba alikuwa anapewa dawa pungufu na douse ilikuwa ya siku tatu ambayo imeisha leo ila nimempa ml5 baada ya kugundua hili kosa,naomba ushauri nifanyeje wakuu,niendelee kumpa kesho ml5 ili kukamilisha douse au nimuanzishie upya?mtoto alikuwa na pneumonia msaada tafadhali.
Asante mkuu nitazingatia.Tafadhali usimpe mtoto dawa tena nenda kaonane na Daktari umwelezee atakushauri. pia angalia kipeperushi huwa vimeandikwa dose kulingana umri wa mtoto. Ila ushauri wangu usimpe tena dawa. Yawezekana daktari alijielekeza vibaya au hakujua mg ya active ingredients
Hapo ndipo ma daktari wanapokosea prescription inashauriwa dawa ziaandikwe in terms of Mg strength.si kwa mls volume isipokuwa kwa dawa ambazo zinamchanganyiko zaidi ya dawa moja.'Fixed dose combination 'Mtoto amepewa dawa pungufu tofauti na ushauri wa doctor,aliandikiwa kutumia dawa 5ml ila nilipoenda kununua dawa pharmacy wakaandika apewe 2.5ml so wife akawa anampa kulingana na maelezo ya pharmacist's sijui kilichotokea maana nilimpa karatasi yenye maelezo ya doctor.
Sasa leo nimesoma ile karatasi aliyoiandika doctor nakuta imeandikwa 5ml ikimaanisha kwamba alikuwa anapewa dawa pungufu na dose ilikuwa ya siku tatu ambayo imeisha leo ila nimempa ml5 baada ya kugundua hili kosa.
Naomba ushauri nifanyeje wakuu, niendelee kumpa kesho ml5 ili kukamilisha dose au nimuanzishie upya? mtoto alikuwa na pneumonia msaada tafadhali.
Shukrani mkuu Selekwa tatizo niliishalisolve japo mtoto hali yake bado haijawa stable bado anakohoa nilishauriwa nimpeleke baada ya siku saba,ilikuwa pneumonia inamsumbua.Hapo ndipo ma daktari wanapokosea prescription inashauriwa dawa ziaandikwe in terms of Mg strength.si kwa mls volume isipokuwa kwa dawa ambazo zinamchanganyiko zaidi ya dawa moja.'Fixed dose combination '
Na dose ziko standard known mfano Vitamin B complex au any known cough syrup, kwa Ushauri mzuri unatakiwa useme ni dawa gani na mtoto ana umri gani na uzito gani . then tuta share na tutaondoa utata.