Habari wana jamvi?
Nimekuja hapa kuomba msaada kwa Wataalamu wanaoelewa haswa kuhusu tatizo la mtoto mdogo miaka 1 - 4 kutokwa na damu puani wakati wa usiku alalapo.
-Je, tatizo hili husababiswa na nini?
-Je, nawezaje kukabiliana na tatizo hili?
Ahsanteni sana.