Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Huu utaratibu tuliujaribu ukogoma. Jamaa anatirirsha udenda kama Lita 20 per dayTradition wise wajomba wanakula huo udenda kwenye chakula pasi na wao kujua. Mtoto wa sista wangu alipona through that way
Asante Mkuu but tupo kijijini tena mikoa ya mbali na DarMkuu, nenda Agape Center kituo cha kanisa katoliki pale atapata maombi na hakika Yesu atamponya.
Yuko dada alikua anakula magodoro lakini alipofika pale baada ya siku kadhaa alipona.
Iko njia ndani ya jina la Yesu.
Unatoka anytime aweamelala anatembea au anakula.Unatoka frequently au akilala? Ila vizuri kwenda hospital