Msaada, mtoto mchanga kutapika

Jean piaget

Senior Member
Joined
Mar 15, 2014
Posts
143
Reaction score
34
Hi jf members,
Mtoto wangu ana mwezi 1 na wiki 2, usiku huwa anajisokota na kuanza kulia badae anatapika, hili limemtokea mara kwa mara, lakini usiku amesumbua sana kwa hali hiyo hadi nimeogopa,
Mwenye utalaamu na watoto wachanga tusaidiane
 
Anatapika au anacheua? Usikute unajichanganya, watoto wakishanyonya inabidi kucheulishwa, ndio maana anajisokota kwa sababu ya gesi bila kucheua anakua anaumia
 
Samora hapana mkuu siyo kucheua ni kutapika
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…