kizaizai JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 5,651 Reaction score 6,966 Aug 24, 2014 #1 Mtoto wa miaka miwili na nusu anatatizo la allergy ya protein hasa maziwa, mwili unavimba na matokeo yake anajikuna na kusababisha vidonda. Madaktari wameshaonwa lakini bado tatizo lipo.
Mtoto wa miaka miwili na nusu anatatizo la allergy ya protein hasa maziwa, mwili unavimba na matokeo yake anajikuna na kusababisha vidonda. Madaktari wameshaonwa lakini bado tatizo lipo.
Kafara JF-Expert Member Joined Feb 17, 2007 Posts 1,396 Reaction score 425 Aug 25, 2014 #2 pole sana. kama tatizo umetambua ni maziwa kwanini usimmwachishe kunywa maziwa kisha uzungumze na wataalamu kuhusu source mbadala ya protein?
pole sana. kama tatizo umetambua ni maziwa kwanini usimmwachishe kunywa maziwa kisha uzungumze na wataalamu kuhusu source mbadala ya protein?
kizaizai JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 5,651 Reaction score 6,966 Aug 25, 2014 Thread starter #3 Kafara said: pole sana. kama tatizo umetambua ni maziwa kwanini usimmwachishe kunywa maziwa kisha uzungumze na wataalamu kuhusu source mbadala ya protein? Click to expand... Akitumia maziwa au chochote chenye mchanganyiko wa maziwa mfano biscuit ndio hali inakuwa mbaya; nyama na samaki ni kwambali sana.
Kafara said: pole sana. kama tatizo umetambua ni maziwa kwanini usimmwachishe kunywa maziwa kisha uzungumze na wataalamu kuhusu source mbadala ya protein? Click to expand... Akitumia maziwa au chochote chenye mchanganyiko wa maziwa mfano biscuit ndio hali inakuwa mbaya; nyama na samaki ni kwambali sana.