Msaada:Mtoto wa dada yangu anakojoa damu,hospitali hawaoni ugonjwa.

Kuna majini yanayonyonya damu,na kwa jina la Yesu wa Nazareth ukiamini anapona kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iyo bei atakayotajiwa mbona damu itakata yenyewe... Unamjua au unamsikia Mzizi Mkavu.... Niliwahi kumtafuta nikiwa mgonjwa akanitajia dawa 3M....Sikugeuka!!...... Uyo Aende kwenye maombi tu.. ndo atakapopona. Full Stop.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuunga mkono,jamaa ana bei sana!!

Dont settle for less
 
kuna sababu nyingi, kwanza wanatakiwa wapime mkojo waone ni damu katika form gani ni cell zenyewe au ni hemoglobin kama ni cell basi kuna sehemu kumekuwa damaged kama ni hemoglobin basi hio itakuwa inachujwa na Figo na inatoka ndani yaweza kuwa anahemolytic anaemia, another possibility ni kama damu yake imeshindwa kuganda Kwahio kama kuna tatizo au mchubuko damu inaendelia kutoka, anahitaji urologist na hematologist wamuone,

Sent from My BlackBerry Passport
 
Inategemea na imani ya mtu, maombi yanaponyesha

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na maombi yanaponyesha kuna maradhi mengine hata uombewe na Wachungaji 1000 na Masheikh wawe 1000 huwezi kupona kabisa pasipo na kutumia dawa kutibu hayo maradhi uliyokuwa nayo. Kama ni kweli Maombi yanaponyesha Wachungaji waende hospitali za Wendawazimu na wagonjwa wa Ukimwi na Wagonjwa wa Saratani wakawafanyie maombi wagonjwa ili wapate kupona? Kama ni kweli Maombi yanaweza kumponyesha mgonjwa pasipo na kutumia dawa. Wachungaji waende Mahospitalini kuwafanyia Maombi wagonjwa ili wapate kupona sio kumuombea Mtu mmoja kanisani kwa jina la Bwana Yesu kristo maombi feki hayo mimi huwa ninayaita. Angalia hii video hapa chini.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…