Msaada: Mtoto wa miaka miwili kuharisha malenda

transom

Member
Joined
Feb 21, 2016
Posts
64
Reaction score
36
Habarini za asubuhi ndugu zangu.

Ninamtoto wa kiume anasumbuliwa na tatizo la tumbo.
Nikimpa chakula tu, ama uji baada ya dakika 20 hivi lazima atajisaidia malenda malenda, yaani chakula hakikai tumboni.

Nilimpima choo kikaonekana hakina tatizo.
Naomba ushauri ndugu zangu nifanyeje?

Kwa yeyote anaemjua daktari bingwa wa watoto naomba anijulishe.


Nipo dar Kigamboni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…