Jioni hii ameanza kupumua kwa shida afu anakataa kunyonya nipo mbali na hospital usafiri nimekoswa nimeenda kwenye kibada kimoja cha madawa nimepatiwa dawa hii
Hivi wewe simu unayo unashindwa kuwapigia rafiki zako ndg zako wafanye mpango wa usafiri wakufate ulipo unanza kubet kwa mwanao kwa nini mnzaaa mkiwa watoto hivi pumbavu kabisaa piga simu kwa ndg zako au rafiki zako walete usafili umpeleke mtoto hospital acha kubeti ma maisha ya mtoto.
Hospital nimbali nimekoswa usafili afu usku umeingia nimeenda kwenye kibanda kimoja cha madawa wamempima wamesema ana limonia homa ya mapafu na dawa ndo hizo nilizoonyesha hapo mazingira yetu huku sio rafki