Msaada mtoto wangu ana upungufu wa damu

Yani hana tatizo lolote zaidi damu kushuka

Sent using Jamii Forums mobile app
nilichokuwa namaanisha ni kuwa je huo upungufu wa damu vipímo alivopima vinaonyesha ni type gani ya upungufu wa damu au kwa lugha rahisi huo ipungufu umeletwa na sababu gan..!!maaana bila kujua sababu specific ni sawa utakuwa unajaza maji ndoo iliotoboka...kwasababu kuna type nyingi na sababu nyingi zinazopelekea upungufu wa damu.
 

Uko sahihi mkuu huwezi tibu bila kujua nini tatizo
 

Kwa huo umri my best guess ana upungufu wa madini chuma my best guess kwa sababu sijamuona mtoto na vipimo havijafanyika
Ila watoto wengi umri huo hua wanapata anemia ya upungufu wa madini chuma
Jitahidi kula maini kwa wingi na mtoto pia cjuh utaweza saga au utafanyaje
Just hakikisha mnapata maini kwa wingi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mtoto wa umri huo huwa unampa nini zaidi ya kunyonya mama yake? Je kuna maziwa ya kopo unampa? Au kuna dawa huwa anakunywa ie hata kama ni za kifua ziseme.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…