nilichokuwa namaanisha ni kuwa je huo upungufu wa damu vipímo alivopima vinaonyesha ni type gani ya upungufu wa damu au kwa lugha rahisi huo ipungufu umeletwa na sababu gan..!!maaana bila kujua sababu specific ni sawa utakuwa unajaza maji ndoo iliotoboka...kwasababu kuna type nyingi na sababu nyingi zinazopelekea upungufu wa damu.
nilichokuwa namaanisha ni kuwa je huo upungufu wa damu vipímo alivopima vinaonyesha ni type gani ya upungufu wa damu au kwa lugha rahisi huo ipungufu umeletwa na sababu gan..!!maaana bila kujua sababu specific ni sawa utakuwa unajaza maji ndoo iliotoboka...kwasababu kuna type nyingi na sababu nyingi zinazopelekea upungufu wa damu.
Habari za usiku, tafadhali naomba ushauri, mwanangu ana miezi nane alizaliwa na damu 16 ila alipimwa tena akiwa na miezi 4 zilikuwa 14 gafla mwezi wa 7 zikawa damu 8 leo kapimwa tena akiwa na miezi8 damu ipo 7. hana tatizo na aumwi chochote anakula na kunyonya vizuri na uzito wake unapanda vizuri, msaada waungwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa umri huo huwa unampa nini zaidi ya kunyonya mama yake? Je kuna maziwa ya kopo unampa? Au kuna dawa huwa anakunywa ie hata kama ni za kifua ziseme.Habari za usiku, tafadhali naomba ushauri, mwanangu ana miezi nane alizaliwa na damu 16 ila alipimwa tena akiwa na miezi 4 zilikuwa 14 gafla mwezi wa 7 zikawa damu 8 leo kapimwa tena akiwa na miezi8 damu ipo 7. hana tatizo na aumwi chochote anakula na kunyonya vizuri na uzito wake unapanda vizuri, msaada waungwana
Sent using Jamii Forums mobile app