Ndugu wataalam naomba msaada mtoto wangu anasumbuliwa na macho yaani nimetumia dawa hasa ya maji lakini hamna kitu.
Msaada jamani maana mtoto anateseka.
dawa ulizotumia ni ushauri wa daktari au umetumia uzoefu tu? nakushauri umpeleke hospitali kwanza tena kwa specialist wa macho then from there utapata mwanga nn tatizo na jinsi ya kumpatia tiba!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.