Helloo Guyz
Habarini jamani
Naombaa msaadaaa mwenye mawazo juu ya Mwanangu.Mtoto wangu ana miezi sita ni mchangamfu sana ila shida yake ni shingo yake bado haijakaza vizuri kabisa na anaangalia upande mmoja sana.Baada ya kuona hilo nimempeleka hosipitali daktari akaniambia kwamba ana tatizo la "Neck Palse". Mama yake alimbana shingo wakati wa kujifungua. Nimeambiwa niende hospital ya rufaa. Naombeni msaada wa kimawazo kumsaidia mwanangu aweze kupona jamanii. Asanteni sana.
Habarini jamani
Naombaa msaadaaa mwenye mawazo juu ya Mwanangu.Mtoto wangu ana miezi sita ni mchangamfu sana ila shida yake ni shingo yake bado haijakaza vizuri kabisa na anaangalia upande mmoja sana.Baada ya kuona hilo nimempeleka hosipitali daktari akaniambia kwamba ana tatizo la "Neck Palse". Mama yake alimbana shingo wakati wa kujifungua. Nimeambiwa niende hospital ya rufaa. Naombeni msaada wa kimawazo kumsaidia mwanangu aweze kupona jamanii. Asanteni sana.