HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 2,952
- 5,583
Habari zenu.
Naomba msaada wa mtu/mahali pa kukata kioo kuwa round (clean cut) na kutoboa kioo /vioo vya aina mbali mbali vishimo vya vipimo (3mm-60mm) tofauti kwa ubora wa hali ya juu.
pia mtu/mahali kwa kukata kioo round (15mm -300mm)/ sinous shapes.
Kwa Dar na Arusha/Moshi.
Asanteni
Naomba msaada wa mtu/mahali pa kukata kioo kuwa round (clean cut) na kutoboa kioo /vioo vya aina mbali mbali vishimo vya vipimo (3mm-60mm) tofauti kwa ubora wa hali ya juu.
pia mtu/mahali kwa kukata kioo round (15mm -300mm)/ sinous shapes.
Kwa Dar na Arusha/Moshi.
Asanteni