Elections 2010 Msaada mtu mwenye kadi hii ya kupigia kura jina lake halipo kwenye daftali kura

Elections 2010 Msaada mtu mwenye kadi hii ya kupigia kura jina lake halipo kwenye daftali kura

Nicazius

Senior Member
Joined
Feb 6, 2008
Posts
143
Reaction score
17
Mtu huyo mwenye kadi hii amehangaika kutafuta kituo chake cha kupigia kura bila mafanikio ameangalia mpaka kwenye website ya nec bila mafanikio, je watu kama hawa wapo wangapi na nec wanaagenda gani ya siri na mambo kama haya, watu wengi maeneo ya keko wanalalamika sana kuwa majina yao hayaonekani, jamaani tuchukue hatua.
 

Attachments

  • DSC00231.JPG
    DSC00231.JPG
    224.6 KB · Views: 54
Back
Top Bottom