Msaada mtu wa kujifunza naye lugha ya kingereza

Msaada mtu wa kujifunza naye lugha ya kingereza

immasakha

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
489
Reaction score
281
Ninakumbuka hivi karibuni nilileta uzi wa kutaka kujuzwa njia rahisi ya kuweza kuzungumza lugha ya kingereza baada ya wadau kuchangia uzi huo miongoni mwao walishauri kwamba ni lazima kuweza kuongea hiyo lugha mara kwa mara.

Kutokana na hayo sasa nimefika hatua ya kutaka kutafuta wa/mtu ambae ataweza Kuongea na mimi ili pale ninapokosea anirekebishe, kwa yule ambae yupo tayari ninamkaribisha.
 
Npo tayari mkuuu, tuanze tu kuongea kiingereza.....
 
Ninakumbuka hivi karibuni nilileta uzi wa kutaka kujuzwa njia rahisi ya kuweza kuzungumza lugha ya kiengereza baada ya wadau kuchangia uzi huo miongoni mwao walishauri kwamba ni lazima kuweza kuongea hiyo lugha mara kwa mara.
Kutokana na hayo sasa nimefika hatua ya kutaka kutafuta wa/mtu ambae ataweza Kuongea na mimi ili pale ninapokosea anirekebishe, kwa yule ambae yupo tayar ninamkaribisha.

Halafu angalia movie nyingi za kiingereza ambazo hazijatafsiliwa mara kwa mara.Achana kabisa na movie za kiswahili au ambazo zimetafsiliwa
 
Soma soma vitabu vya kiingereza.. check movie za kiingilishi hasa zenye subtitles...
 
Ninakumbuka hivi karibuni nilileta uzi wa kutaka kujuzwa njia rahisi ya kuweza kuzungumza lugha ya kiengereza baada ya wadau kuchangia uzi huo miongoni mwao walishauri kwamba ni lazima kuweza kuongea hiyo lugha mara kwa mara.
Kutokana na hayo sasa nimefika hatua ya kutaka kutafuta wa/mtu ambae ataweza Kuongea na mimi ili pale ninapokosea anirekebishe, kwa yule ambae yupo tayar ninamkaribisha.
Kwanza nijuze unataka kuongea kingereza au maneno ya kingereza...
 
Mimi ninataka kuongea lugha ya kiengereza ili na mimi nisiwe nyuma sana katika mtandao wa lugha za kigeni
 
Jamani na mimi ninatakuongea sana hii lugha ya kiengereza lakni inanipiga chenga naombeni msaada.
 
Unaweza pia kuwa unajifunzia youtube kwa muda ambao hauna mtu wa kuongea nae. Ulishajaribu youtube?
 
Back
Top Bottom