DHL, UPS, FEDEX, EMS, TNT n.k. no Door to Door yaani wanaleta mpaka mlangoni kwako.., sasa sema tatizo la Bongo hakuna address ni vigumu wakuletee temeke jirani na Mangi karibia na mti wa Mwembe..., ndio maana uwa wanakupigia simu uifate ila kama wanaweza kufika ulipo na panaeleweka wanaleta mpaka mlangoni na ni jukumu lao..
Kuhusu mdau cheki kwenye tracking.., utakapoona received in Dar/Tanzania fahamu kwamba mzigo tayari wanao DHL, na kuepuka kufunga safari kuwafuata wapigie simu zao 255 22 2861000 / 4 kwa kawaida parcel kufika ni 4 to 5 working days.., na documents tu sio shida ingekuwa parcel ingechelewa sababu huwa wanangoja customs wacheki na wakadirie ushuru kabla ya kukutumia