Chemist boy
Member
- Mar 24, 2018
- 57
- 60
- Thread starter
-
- #21
Nipo Mbeya mkuuNitafute chemba. Upo mkoa gani nikutafutie MTU
Kwani ni Gross misconduct?Kwa jinsi nilivyosoma umeachishwa kazi kwa kosa la nidhamu
Kama wanakuachisha wao
Hutakiwi kulipa chochote wala kulipwa chochote
Kwa wao kukulipa wamekupendelea sana.
Ila pia hukutakiwa kulipa malipo ya januari.
Soma sheria ya ajira na mahusiano kazini ujue haki zako
Kiukweli nimepitia huo waraka wa ajira ila sijabahatika kuona sehemu ambayo inasemaje kama mtu amefukuzwa kazi anatakiwa ailipe kampuni likizo aliyokwenda,ndo maana nikaja huku pengine wenzangu wanafahamu sheria zaid,kwan at a staff handbook ya iyo kampuni sijawh kuona icho kituKwa jinsi nilivyosoma umeachishwa kazi kwa kosa la nidhamu
Kama wanakuachisha wao
Hutakiwi kulipa chochote wala kulipwa chochote
Kwa wao kukulipa wamekupendelea sana.
Ila pia hukutakiwa kulipa malipo ya januari.
Soma sheria ya ajira na mahusiano kazini ujue haki zako
Ndio wao wameiweka kama Gross misconductKwani ni Gross misconduct?
Hakutakiwa kulipwa kwa misinghi ipi?Kwa jinsi nilivyosoma umeachishwa kazi kwa kosa la nidhamu
Kama wanakuachisha wao
Hutakiwi kulipa chochote wala kulipwa chochote
Kwa wao kukulipa wamekupendelea sana.
Ila pia hukutakiwa kulipa malipo ya januari.
Soma sheria ya ajira na mahusiano kazini ujue haki zako
Ok mkuuHakutakiwa kulipwa kwa misinghi ipi?