Msaada: Mwalimu wa Kufundisha Kiswahili kwa Wageni!

Msaada: Mwalimu wa Kufundisha Kiswahili kwa Wageni!

Paloma

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2008
Posts
5,331
Reaction score
4,955
Habari ya leo waungwana wa jukwaa hili la lugha yetu adhimu ya kiswahili!

Ninaomba msaada wa kuelekezwa wapi nitapata mtaalam wa kufundisha kiswahili kwa wageni/wahamiaji halali.
Nadhani nikisema wageni/wahamiaji halali ninaeleweka. Wageni hawa wanaongea lugha ya kiingereza. Wageni wapo Dar es salaam kikazi, na hivyo kutahitajika ratiba maalumu.

Mtaalam huyu wa kufundisha kiswahili, atahitakija kufundisha lugha ya kiswahili chepesi - kwa maneno mengine ni "for beginners".

Kama kuna aliyepo humu tafadhali wasiliana nami kwa PM.

Tafadhali naomba msaada wenu.

Asante,
Paloma
 
Habari ya leo waungwana wa jukwaa hili la lugha yetu adhimu ya kiswahili!

Ninaomba msaada wa kuelekezwa wapi nitapata mtaalam wa kufundisha kiswahili kwa wageni/wahamiaji halali.
Nadhani nikisema wageni/wahamiaji halali ninaeleweka. Wageni hawa wanaongea lugha ya kiingereza. Wageni wapo Dar es salaam kikazi, na hivyo kutahitajika ratiba maalumu.

Mtaalam huyu wa kufundisha kiswahili, atahitakija kufundisha lugha ya kiswahili chepesi - kwa maneno mengine ni "for beginners".

Kama kuna aliyepo humu tafadhali wasiliana nami kwa PM.

Tafadhali naomba msaada wenu.

Asante,
Paloma

Habari ndugu, vp kuhusu hiyo nafasi ya kuwafundisha wageni lugha ya kiswahili bado ipo? Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu ktk somo hilo, kama ipo tuwasiliane kwa cm no 0752796133.
 
Back
Top Bottom