Msaada: Mwanamke mwenye ujauzito wa miezi miwili kutokwa damu na tumbo kuuma

mamitber

Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
28
Reaction score
4
Ushauri tafadhali,
Mwanamke kutokwa na damu tumbo kuuma wakati ana mimba ya miezi miwili ni dalili ya mimba kutoka au jambo la kawaida?

Nini kinasabisha na solution ni nini? Naombeni majibu sahihi tena ya kusaidia
 
Awahi fasta hospitalini ni dalili ya mimba kutaka kuharibika...
Ama imeshaanza kuharibika taratibu hospitalin watampa jibu kamili
 
dah..wahi hospitali ndugu hiyo sio dalili nzuri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…