Dr Liwa, Dr MziziMkavu msaada wenu
Kama hayamletei homa huyo hana tatizo lolote,ni hali ya hewa ya joto tu inamsumbua.Wakuu naombeni msaada, mtoto wa kaka yangu ana mwaka na nusu lakini kwa muda sasa amekuwa akisumbuliwa na majipu sehemu mbali mbali za mwili wake. Tushampeleka hospitals mbali mbali kwa maspeshalisti kadhaa bila mafanikio.
Tumempima allergy pia imetokea kuwa hana allergy ya kitu chochote.
Msaada tafadhali madoctor na msio madaktari.
Asante mkuu, nitampa namba muhusiia.Pole sana. Ana umri gani huyo mtoto. jaribu hospitali zingine na utapata jibu. vifaa na ujuzi unatofautiana. kuna jamaa alikuwa na tatizo hilo pia. kama utashindwa huko nitafute nitakuunganisha nae akupe maelezo alichofanya kwa maelezo mtafute
0689417472
Kama hayamletei homa huyo hana tatizo lolote,ni hali ya hewa ya joto tu inamsumbua.
Hakikisha analala sehemu yenye feni (zaidi feni ya juu) au ac mda mwingi.
Hakikisha anashinda na kulala na nguo nyepesi kabisa.
Mtoto aogeshwe kabla ya kulala na akitoka kulala.
Nakuhakikishia tatizo litakua historia.
Mimi nae wangu alikua hivyo hivyo lkn baada ya kupata ushauri wa dokta mzuri tatizo liliisha kabisa.
Bado mdogo na anakua hivyo mwili unatabia ya kujenga immunity naturally... Kwa hiyo kwa hapo baadae akikua inshaalah mambo ya maradhi maradhi yanakua hayamsumbui... Ila majipu ni bacterial infection unaweza tumia antibiotics au tiba za asili kama maziwa, kitunguu etcItamsaidia kivipi mkuu