MSAADA: Mwanangu anavimba sehemu za siri kila akianza kulia

Mcharuko

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2011
Posts
209
Reaction score
172
Hili naomba nilielekeze moja kwa moja kwa madaktari mnaopatikana hapa Jf,
Tatizo hili limemuanza akiwa Mchanga na sasa ana miezi 9 nimejaribu mara kadhaa
kumpeleka hapo hospitali nimepewa vidonge lakini tatizo halijaisha

Mara nyingi akilia huwa kwa juu kwenye kinena panajaa na akiendelea zaidi kulia Pumbu
nazo zinavimba, tena siku hizi hufikia hata kujishika sehemu za siri kutokana na maumivu

Msaada wenu tafadhali.
 
Pole sana kwani hiyo ni dalili ya "tezi dume" na hongera kwani atakuja kuwa Rais baadaye.
we jinga kabisa, umenifanya nikaukie kucheka mbele za watu wakanishangaa.
 

Via Kwanzaafya.blogspot.com. pole sana mwanao anasumbuliwa na hernia aendelee kutumia dawa alizopewa na kufuata ushauri aliopewa mpaka akifikisha miaka 2 ndo ataweza kufanyiwa upasuaji.
 
Hizo ni dalili za hernia , hiyo ni
Hospitali gani umempeleka akapewa vidonge tu?
Mpelekee hospitali kabisa na siyo zahanati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…