libent JF-Expert Member Joined Oct 29, 2011 Posts 382 Reaction score 84 Apr 13, 2013 #1 mtoto wangu nahisi anateseka maana jicho litoa matongotongo. Hapo mwanzo tulishauriwa mama yake amkamulie maziwa yake lakini bado hali inaendelea. Halafu ni siku ya nne hajapata choo. Ni mtoto wa mwezi mmoja
mtoto wangu nahisi anateseka maana jicho litoa matongotongo. Hapo mwanzo tulishauriwa mama yake amkamulie maziwa yake lakini bado hali inaendelea. Halafu ni siku ya nne hajapata choo. Ni mtoto wa mwezi mmoja
Mapondela JF-Expert Member Joined Mar 31, 2009 Posts 454 Reaction score 83 Apr 16, 2013 #2 Peleka hospital haraka. Inawezekana mama ana maambukizo ambayo amemuambukiza mtoto. Hospital watampima na watakupa ushauri wa kutosha. Usichelewe.
Peleka hospital haraka. Inawezekana mama ana maambukizo ambayo amemuambukiza mtoto. Hospital watampima na watakupa ushauri wa kutosha. Usichelewe.