Msaada: Mwanaume huyu hapigi bao

Huyo jamaa ana tatizo ana do ili iweje kama afikii mshindo,
 
Huyo jamaa atakawa anatumia dawa ya kikongo kama sikosei inaitwa putulo.Ni ungaunga fulani hivyi ambao unapaka kwa kichwa cha dushelele then wazungu kuja ni kama lisaa au zaidi
 
Ss km anadate na mdogo ww umejuaje km hapizi? umbea huo! au tyr na ww kishakupitia. ni hv kuna dawa inatoka Congo inaitwa puturu, I think ndo huwa anaitumia. mwanaume akiitumia hiyo anaweza kiisugua "K" hadi saa 1 na zaidi au asikojoe kabisa
 
Ss km anadate na mdogo ww umejuaje km hapizi? umbea huo! au tyr na ww kishakupitia. ni hv kuna dawa inatoka Congo inaitwa puturu, I think ndo huwa anaitumia. mwanaume akiitumia hiyo anaweza kiisugua "K" hadi saa 1 na zaidi au asikojoe kabisa
Mdogo wangu ni kama rafiki yangu... so hope umenielewa
 
Mnataka akojoe mumbambikishie mimba???....mwacheni baba wa watu.
 
wenda...
-jamaa ni mwanachama wa kudumu wa CHAPUTA Tanzania
-jamaa anatumia dawa
-mwanamke hana mvuto
-jamaa ana biological problem (japo hii inaweza isiwe sababu sana)

MziziMkavu mshana jr
 
Hawa watu sio wazuri kabisaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa jiulize, akiguswa dk. 3 jamaa akakojoa atasema mwanaume jina! Anampa mpaka anatosheka! Bao analitakia nini nae sie mkewe???
 
Sasa mdogo wako anatembea na mke wa mtu, then unaomba ushauri unashangaa kwann wazungu hawapo je kama anawaacha kwa mke wa ndoa afu anakuja kwa huyo rafiki ako kama kupoteza mda( chombo cha starehe).
Huo mwandiko wako mbona hivyo?!
Au unatumia Tecno?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…