Msaada: Mwanaume wa miaka 20 na zaidi kuwa na matiti

Msaada: Mwanaume wa miaka 20 na zaidi kuwa na matiti

saidi yakoub

Member
Joined
Nov 1, 2015
Posts
21
Reaction score
22
Mimi nauliza tatizo la mwanaume kuanzia miaka 20 na kuendelea kuwa na maziwa linasababishwa na nini na jee tiba yake ni ipi ili yaondoke hayo matiti
 
WAHI HOSP HUTOKEA , LINATIBIKA MILIWAHI ONA KIJANA MMOJA Wanafanya operation ndg tu
 
Naweza sema hiyo hali ni hormonal disorder,inasababishwa na kuongezeka uzalishwaji wa hormone ya oestrogen na upunguaji wa hormone ya androgen(hii inahisiana zaidi na kukupa tabia za kiume),oestrogen inapozaliswa nyingi kuliko androgen ndio hiyo hali inatokea.
Wakati meingine huwa inasababishwa na baadhi ya madawa kama hizi za HIV,magonjwa etc
Matibabu surgery inaweza fanyika,cha muhimu kama unamgonjwa mpeleke hospitali afanyiwe vipimo ijulikane chanzo cha hiyo shida yake then afanyiwe tiba kulingana na tatizo lake.
 
Naweza sema hiyo hali ni hormonal disorder,inasababishwa na kuongezeka uzalishwaji wa hormone ya oestrogen na upunguaji wa hormone ya androgen(hii inahisiana zaidi na kukupa tabia za kiume),oestrogen inapozaliswa nyingi kuliko androgen ndio hiyo hali inatokea.
Wakati meingine huwa inasababishwa na baadhi ya madawa kama hizi za HIV,magonjwa etc
Matibabu surgery inaweza fanyika,cha muhimu kama unamgonjwa mpeleke hospitali afanyiwe vipimo ijulikane chanzo cha hiyo shida yake then afanyiwe tiba kulingana na tatizo lake.
Doctor shikamoo naona umemaliza yote kabisa
 
Naweza sema hiyo hali ni hormonal disorder,inasababishwa na kuongezeka uzalishwaji wa hormone ya oestrogen na upunguaji wa hormone ya androgen(hii inahisiana zaidi na kukupa tabia za kiume),oestrogen inapozaliswa nyingi kuliko androgen ndio hiyo hali inatokea.
Wakati meingine huwa inasababishwa na baadhi ya madawa kama hizi za HIV,magonjwa etc
Matibabu surgery inaweza fanyika,cha muhimu kama unamgonjwa mpeleke hospitali afanyiwe vipimo ijulikane chanzo cha hiyo shida yake then afanyiwe tiba kulingana na tatizo lake.
Jee ndugu hiyo upasuaji wake wanafanya hospitali zipi kwa hapa tanzania na gharama yake ni shilingi ngapi?
 
Wanaita gynecomastia, tiba kubwa ni operesheni ya kuondoa mafuta kwenye chuchu ila kwa bongo cna uhakika kama wanafanya
 
Naweza sema hiyo hali ni hormonal disorder,inasababishwa na kuongezeka uzalishwaji wa hormone ya oestrogen na upunguaji wa hormone ya androgen(hii inahisiana zaidi na kukupa tabia za kiume),oestrogen inapozaliswa nyingi kuliko androgen ndio hiyo hali inatokea.
Wakati meingine huwa inasababishwa na baadhi ya madawa kama hizi za HIV,magonjwa etc
Matibabu surgery inaweza fanyika,cha muhimu kama unamgonjwa mpeleke hospitali afanyiwe vipimo ijulikane chanzo cha hiyo shida yake then afanyiwe tiba kulingana na tatizo lake.
Vichwa kama hivi vinavyomwaga madini, ndo vichwa vya kuweka ndani.
 
Jee ndugu hiyo upasuaji wake wanafanya hospitali zipi kwa hapa tanzania na gharama yake ni shilingi ngapi?
Inategemea najua Hapa selian hospital Arusha wanafanya hiyo operation kwa hela cash kama hauna bila ni kama milioni moja na laki tatu lakini kama unatumia bima gharama zote zitabebwa na bima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom