MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Msaada , nataka kwenda Nairobi kutokea Buzuruga stendi.
Maswali yangu ni
Lipi basi zuri?
Nauli kiasi gani?
Safari ni masaa mangapi?
Vipi kuhusu chanjo mpakani?
Nk.
Natanguliza shukrani
Maswali yangu ni
Lipi basi zuri?
Nauli kiasi gani?
Safari ni masaa mangapi?
Vipi kuhusu chanjo mpakani?
Nk.
Natanguliza shukrani