Rim A4 lazma,files , vngne counters ,pen ,penseli ,mafuta,sabuni,kiwi, calculator kama we unasoma sayansi au egm na hge,bukta ya blue ya michezo ,pair ya rubber za michezo,viatu black vya kamba,surual ya damu ya mzee mbili, surual ya kaki ya kushindia ya kuwaonyeshea tu baada ya hapo we utajiachia na vaz unalotaka,shat mbili nyeupe mikono mirefu, utaenda na pesa ya tai,sweta na tishet sikumbuk ni shngapi,....ila haizidi elfu50,pesa ya michango mbalimbali haizidi 130000, Ada kama kawa kwa muhula 35 elfu.
Gallon la kutunzia maji ya kunywa ni lazma litre tano,godoro 3x2 ,shuka za light blue mbili,blanket manake kuna baridi balaa,net,ndoo ya maji(ila ukifika watu wanashare sana ndoo chako changu changu chako) ,malapa,kuna vitu vingine utanunulia hapohapo mjini sababu shule ipo mjini kabisa.
na vngne nimesahau coz nimemalizapo this year.
Ile joining ndio ya muhimu sababu ina form ambazo mzazi na mkuu wa wilaya na mganga wanatakiwa wajaze na kusaini
Kwa maelezo mengne zaidi ni PM ntakusaidia namb za madogo wa pale niliowaacha.Thank u