Msaada: Mwenye idea ya interview za utumishi kada ya medical physist maswali yake yanakuwaje?

Acha uongo. Haipo Tanzania, yeye kasoma wapi? Nyie clinical officers mna nyodo sana. Unasoma math halafu unaajiriwa Ocean Road kutoa tiba ya mionzi. Acha kueneza uongo. Kama hakusaidiwa huko chuoni ambako amesoma miaka kadhaa na kutoka bila kujua jinsi ya kuandika jina la kozi, mimi nitamsaidiaje hapa JF? Usielewe jina la kozi uliyosoma kwa miaka 3 halafu uje ujue jina ukiwa field? Unafikiria kwa kutumia nini wewe?
 
Mkuu kwa Tz medical, walimu, bwana shamba/Kilimo kama.ni ajira za.Serikali hakuna Interview, labda private
 
Hiyo kozi haipo Tanzania hata ukibisha pale ocean road wanaajili mtu aliesoma phys na math ,kuwa muelewa wewe kupata kazi haimaanishi unajua sana
 
 
Mbona unaonyesha sifa za mwalimu wa physics na math wa sekondari? Mtizamaji atajuaje kuwa ni sifa za kazi inayoongelewa hapa? Una kazi sana wewe. Hiyo kazi mwachie mwingine. Haikufai. Hauna uwezo wa kazi hiyo.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚We jamaa una matatizo sana okay lakini ujue tu kwa Tz hakuna chuo kinachofundisha hiyo kozi zaidi tu huwa wanachukua mtu aliesoma physics au phys na math
 
Habari wakuu,

Naomba mwenye idea ya interview za utumishi kada ya medical physist maswali yake yanakuwaje?

Msaada please.
Vijana wa siku hizi mbona mnapenda ulaghai?sasa tukikupa hayo maswali hiyo sio interview Tena!?
Kama umesoma vzr taaluma yako wasiwasi wa nini!?
 
Jobless watu walienda kiulalo ulalo na uzi wako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Aseeeh walinikanda vibaya sana watu wa humu hahhhh huwa sisahau maneno yao
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aseeeh walinikanda vibaya sana watu wa humu hahhhh huwa sisahau maneno yao
Hii course nataka nkasomee ila sina uelewa nao zaidi. Nataka nikasome either Msc of medical image au medical physics. Ni ipi bora zaidi na kwanini? Naomba msaada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…