Nilikuwaga nacho soft copytupia humu kwa faida ya wengine mkuu
Ss ndugu unasema tukufuate pm then tunakuja unasema tucwe na shaka af kmyaaa duh kweli Mungu fundi [emoji3][emoji3]Sawa mkuu tunavisoma na hvo pia
Hv vitabu vya kiswahili vingi havina soft copy, nna mpango wa kuja kutengeneza soft copy ya abunuwasi huko mbeleni, I know it will take time but nitakiandika tu kuomba uzima.Tupia humu mzee maana ukisema pm itakuwa shida kujibu
pw mkuutupia humu kwa faida ya wengine mkuu
tayar wadaupw mkuu
Hakijakamilika hichotayar wadau
Ngja ntafte mwendelezoHakijakamilika hicho
Hapo sawaNgja ntafte mwendelezo
Shukran mkuu, nilidhani unatania mana nimekucheki pm ukanijibu usijali umepata, af nikaona kmy kumbe ulikuwa bize shukran sanapw mkuu
safi mkuu ila itapendeza kam ukimaliziapw mkuu