Waziri wa madini
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 379
- 466
Hahaaa nimecheka sanaaaaNi watoro kazini, hawapendi mikopo, ni wafuasi wa CCM
Minataka tujue zile sifa zao kwanza chief au wewe teacher?Kila mtu na kichwa chake na akili zake pia so dogo hebu oa tabia na muonekano hayo ya kulinganisha kabila,kundi,aina ya kazi siku hizi yameshapitwa na wakati.
KUNA WALIMU VICHAA NA WALIMU WAZURI KWA KUOA SO ACHANA NA DHAMA ZA S.L.P TUPO ENZI ZA WHATSAP
Minataka tujue zile sifa zao kwanza chief au wewe teacher?
Wakongo kwa kujua Kuremba mambo haya mkufunzi wa nasari.Mimi mkufunzi ila sio mwalimu
1. Asubuh jamaa lazima ahesabu nambaKuna rafiki yangu anahitaji kuoa mke ambaye ni mwalimu wa sekondari ameniomba ushauri na mimi nimeona nililete jukwaani.Wapo wanaosema ukioa mwalimu utaishi kama mfalme alie peponi mfano halisi anko magu au jk.Na wapo wanasema waalimu wanagubu na Malaya hasa kwakuchepuka na mateacher wenzao,wengine wanasema waalimu hawajui mapenzi wako oldfashion sio romantic.Kwa mnaojua sifa za waalimu hebu fungukeni nipate cha kumshauri rafiki yangu .
Minataka tujue zile sifa zao kwanza chief au wewe teacher?