antanarivo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2018
- 450
- 883
Habari za leo viongozi!
Naomba kwa mtu ambaye anajua mchanganuo halisi wa kilimo Cha tikiti anisaidie kuhusu vitu vifuatavyo:
1.Gharama za mbegu za kutosha eka 1
2. Idadi ya Miche katika eka 1
3. Miezi mizuri kwa kilimo Cha tikiti kwa hii Kanda ya ziwa
4. Gharama na aina za madawa
5. Budget yake kwa eka ikoje Hadi mavuno na muda wake ni MIEZI mingapi toka UPANDE
6. Tahadhari zake kama zipo
Ahsante
Naomba kwa mtu ambaye anajua mchanganuo halisi wa kilimo Cha tikiti anisaidie kuhusu vitu vifuatavyo:
1.Gharama za mbegu za kutosha eka 1
2. Idadi ya Miche katika eka 1
3. Miezi mizuri kwa kilimo Cha tikiti kwa hii Kanda ya ziwa
4. Gharama na aina za madawa
5. Budget yake kwa eka ikoje Hadi mavuno na muda wake ni MIEZI mingapi toka UPANDE
6. Tahadhari zake kama zipo
Ahsante