NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 1,336
- 2,008
Amani ya bwana iwe juu yenu waungwana.
Kama kichwa cha habari kinavyojielezq,nina kijana wangu yupo kidato cha kwanza shule binafsi iliyopo Pongwe-Tanga,alihitimu elimu ya msingi Dar es salaam na kuchaguliwa kujiunga na shule ya serikali ya kata iliyopo maeneo ya Chanika.
Nilifuata taratibu zote za kumuhanisha na kumpeleka shule binafsi, kiukweli sasa 'vyuma vimekaza'' nataka nimrudishe tena shule za serikali.
Nimewauliza watu kama wanne wote wamenijibu haiwezekani tena kumrudisha mtoto shule za serikali na mmoja wao alisema alienda hadi kwa afisa elimu wilaya kwa shida kama yangu alikataliwa.
Tafadhali watu wenye kujua taratibu nisaidieni hali yangu mbaya sana kiuchumi watu wa TAMISEMI hapa jamii forum naombeni muongozo.
Kama kichwa cha habari kinavyojielezq,nina kijana wangu yupo kidato cha kwanza shule binafsi iliyopo Pongwe-Tanga,alihitimu elimu ya msingi Dar es salaam na kuchaguliwa kujiunga na shule ya serikali ya kata iliyopo maeneo ya Chanika.
Nilifuata taratibu zote za kumuhanisha na kumpeleka shule binafsi, kiukweli sasa 'vyuma vimekaza'' nataka nimrudishe tena shule za serikali.
Nimewauliza watu kama wanne wote wamenijibu haiwezekani tena kumrudisha mtoto shule za serikali na mmoja wao alisema alienda hadi kwa afisa elimu wilaya kwa shida kama yangu alikataliwa.
Tafadhali watu wenye kujua taratibu nisaidieni hali yangu mbaya sana kiuchumi watu wa TAMISEMI hapa jamii forum naombeni muongozo.