Royal Warrior
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 1,166
- 2,143
Wakuu habari zenu,
Naomba mwenye namba ya Speedaf express ya Tanzania anisaidie maana kuna mzigo wangu sijaupata nataka kuwauliza kama uko ofisini kwao.
Natanguliza shukrani.
Naomba mwenye namba ya Speedaf express ya Tanzania anisaidie maana kuna mzigo wangu sijaupata nataka kuwauliza kama uko ofisini kwao.
Natanguliza shukrani.