Msaada: Mwenye namba za Ofisi ya Speedaf Express

Msaada: Mwenye namba za Ofisi ya Speedaf Express

Royal Warrior

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
1,166
Reaction score
2,143
Wakuu habari zenu,

Naomba mwenye namba ya Speedaf express ya Tanzania anisaidie maana kuna mzigo wangu sijaupata nataka kuwauliza kama uko ofisini kwao.

Natanguliza shukrani.
 
Ofisi zao zipo mikocheni mtaa wa migombani na Chato.
 
Wakuu habari zenu,

Naomba mwenye namba ya Speedaf express ya Tanzania anisaidie maana kuna mzigo wangu sijaupata nataka kuwauliza kama uko ofisini kwao.

Natanguliza shukrani.
 
Mkuu uliwapata speedaf?@Royal Warrior
Wakuu habari zenu,

Naomba mwenye namba ya Speedaf express ya Tanzania anisaidie maana kuna mzigo wangu sijaupata nataka kuwauliza kama uko ofisini kwao.

Natanguliza shukrani.
 
Wakuu habari zenu,

Naomba mwenye namba ya Speedaf express ya Tanzania anisaidie maana kuna mzigo wangu sijaupata nataka kuwauliza kama uko ofisini kwao.

Natanguliza shukrani.
0715747063;0714696392. Ayo ni mawasiliano yao Kwa watu wa Dar Es Salaam
 
Back
Top Bottom