Msaada: Mwenye nyumba nimempa kodi kwa ajili ya kumalizia pango, ni muda umepita hajakamilisha ukarabati

Miracle47

Member
Joined
Aug 5, 2023
Posts
15
Reaction score
4
Habari ya mdaa huu viongozi mnaendeleaje, mrejesho.

Ashukuriwe Mungu wa mbinguni pia mbarikiwe Wana jf wote Kwa mawazo ushauli n.k nilikuwa kwenye wakati mgumu sana lakini hatimaye solutions imepatikana Kwa kuanza na service ambazo zimebaki na mda si mrefu kuanza na kazi katika eneo Hilo
 
Muongezee pesa ya mwaka mgine au nusu uliakamilishe kwa kusimamia mwenyewe.
 
Kwani milikubaliana ukishamtumia hizo pesa kwa makadirio angekua amekamilisha ujenzi ndani ya mda gani?

Kama amevuka muda basi kwa lugha nyepesi kabisa AMEKUTAPELI
 
Kwani milikubaliana ukishamtupia hizo pesa kwa makadirio angekua amekamilisha ujenzi ndani ya mda gani?

Kama amevuka muda basi kwa lugha nyepesi kabisa AMEKUTAPELI
Ilitakiwa mpaka wa mwezi 7 niwe nimeanza kupatumia
 
Hapana ila namfahamu pia muamala Bado ninao
umefanya makosa Sana, siku nyingine usimpe mtu hela kienyeji namna hiyo watu sio waaminifu tena. Hakikisha mnakuwa na mkataba wa maandish na shahidi awepo.
Kama hana hela na eneo unaona ni potential andikishaneni kisha ukarabat kwa hela yako mtakatana mwaka unaofuta. usisahau mashahid na serikali za mtaa huyo jamaa sio mwaminifu.
 
Asante sana ndugu yangu nimekuelewa vyema
 
Kwakifupi ulimkuta kipindi akiwa anashida zake,so kakupumzikia
 
hizo pesa zingine atakuwa ametumia kusolve issue zake zingine, hapo umeingia kwenye mtego hata yeye hana wasiwasi itabidi uvumilie tu. Kwanini usingekuwa karibu wakati wa umaliziaji huo. Mkubaliane kazi iliyobaki uisimamie lakini kwa ukaribu wake akijua kila kitu, ila muandikishane, kujenga nyumba ya mtu ndugu ni hatari.
 
Shukrani sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…