NdioHiyo pesa ilikua inatoshea huo umaliziaji?
Muongezee pesa ya mwaka mgine au nusu uliakamilishe kwa kusimamia mwenyewe.Habari ya mdaa huu viongozi mnaendeleaje, naombeni ushauri.
Nina changamoto nilitaka eneo la biashara baada ya kufatilia nilipata namba ya Mmiliki baada ya hapo tukawasiliana akanambia nichague chumba akanipa gharama za chumba Kwa mwezi Tsh. 80.000/-.
Kwakua hakuwa na fedha ya kumalizia alinambia nitoe Kodi ya mwaka ambayo Tsh. 960.000 nilimtumia kwenye simu na muamala bado ninao nililipa japo hatukuonana Kwa macho ila ni mtu ninae mfahamu.
Nimemtumia pesa 5.06.2023 mpaka hii Leo tarehe 5.08.2023 fremu hajamaliza ukarabati, baada ya kuona kuwa Mimi muda unaenda sifanyi chochote na yeye hana mwelekeo wa kumaliza nilimwomba pesa Ili niangalie eneo lingine la biashara ananijibu kwamba nitafute mtu wa kumpangisha Ili nipate Kodi wakati haiwezekai na eneo mimi sio mmiliki.
Naombeni mawazo nifanye nini Ili niweze kupata pesa na kuangalia eneo lingine ndo hayo, naomba kuwasilisha.
Asante Kwa ushauliMuongezee pesa ya mwaka mgine au nusu uliakamilishe kwa kusimamia mwenyewe.
Ilitakiwa mpaka wa mwezi 7 niwe nimeanza kupatumiaKwani milikubaliana ukishamtupia hizo pesa kwa makadirio angekua amekamilisha ujenzi ndani ya mda gani?
Kama amevuka muda basi kwa lugha nyepesi kabisa AMEKUTAPELI
Hapana ila namfahamu pia muamala Bado ninaomliandikishana huo mkataba?
umefanya makosa Sana, siku nyingine usimpe mtu hela kienyeji namna hiyo watu sio waaminifu tena. Hakikisha mnakuwa na mkataba wa maandish na shahidi awepo.Hapana ila namfahamu pia muamala Bado ninao
Asante sana ndugu yangu nimekuelewa vyemaumefanya makosa Sana, siku nyingine usimpe mtu hela kienyeji namna hiyo watu sio waaminifu tena. Hakikisha mnakuwa na mkataba wa maandish na shahidi awepo.
Kama hana hela na eneo unaona ni potential andikishaneni kisha ukarabat kwa hela yako mtakatana mwaka unaofuta. usisahau mashahid na serikali za mtaa huyo jamaa sio mwaminifu.
PoleNdio
Sio powKwakifupi ulimkuta kipindi akiwa anashida zake,so kakupumzikia
hizo pesa zingine atakuwa ametumia kusolve issue zake zingine, hapo umeingia kwenye mtego hata yeye hana wasiwasi itabidi uvumilie tu. Kwanini usingekuwa karibu wakati wa umaliziaji huo. Mkubaliane kazi iliyobaki uisimamie lakini kwa ukaribu wake akijua kila kitu, ila muandikishane, kujenga nyumba ya mtu ndugu ni hatari.Habari ya mdaa huu viongozi mnaendeleaje, naombeni ushauri.
Nina changamoto nilitaka eneo la biashara baada ya kufatilia nilipata namba ya Mmiliki baada ya hapo tukawasiliana akanambia nichague chumba akanipa gharama za chumba Kwa mwezi Tsh. 80.000/-.
Kwakua hakuwa na fedha ya kumalizia alinambia nitoe Kodi ya mwaka ambayo Tsh. 960.000 nilimtumia kwenye simu na muamala bado ninao nililipa japo hatukuonana Kwa macho ila ni mtu ninae mfahamu.
Nimemtumia pesa 5.06.2023 mpaka hii Leo tarehe 5.08.2023 fremu hajamaliza ukarabati, baada ya kuona kuwa Mimi muda unaenda sifanyi chochote na yeye hana mwelekeo wa kumaliza nilimwomba pesa Ili niangalie eneo lingine la biashara ananijibu kwamba nitafute mtu wa kumpangisha Ili nipate Kodi wakati haiwezekai na eneo mimi sio mmiliki.
Naombeni mawazo nifanye nini Ili niweze kupata pesa na kuangalia eneo lingine ndo hayo, naomba kuwasilisha.
Shukrani sanahizo pesa zingine atakuwa ametumia kusolve issue zake zingine, hapo umeingia kwenye mtego hata yeye hana wasiwasi itabidi uvumilie tu. Kwanini usingekuwa karibu wakati wa umaliziaji huo. Mkubaliane kazi iliyobaki uisimamie lakini kwa ukaribu wake akijua kila kitu, ila muandikishane, kujenga nyumba ya mtu ndugu ni hatari.
Rudisha huo muamala kama bado unaoHapana ila namfahamu pia muamala Bado ninao
Mda umepita mkuu haiwezekaniRudisha huo muamala kama bado unao