nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 288
- 230
Naomba mtu anijuze vigezo vya kuanzisha hii kitu na faida zake please.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uko wapi? na sh ngapi?. Mimi nafanya nitafute nitakujuza , Nina kibanda mkuu
Ni biashara nzuri jpo inataka umakini sana kua makinina fedha badia huo mtaji unatoa sana ila usihusishe na matumiz mengne kama kodi ya. Frem kukarabati au kutafutia line bada ya kiwa na kila kitu ndo uweke hyo 1.5mil. Pia ukitaka line ya tigo pesa mm nnazo nyingi ntafute 0653 - 639214/0778 - 818747