NURDIN.HAMIS Member Joined Mar 9, 2013 Posts 79 Reaction score 5 Jan 12, 2014 #1 Mwenye uzoefu na biashara ya saloon za kiume anisaidie uzoefu ktk hili nataka kufungua hiyo kitu.
B BABU KIZEE JF-Expert Member Joined May 18, 2013 Posts 452 Reaction score 72 Jan 14, 2014 #2 Una mtaji gani?
M MTIRO Senior Member Joined May 5, 2012 Posts 120 Reaction score 16 Feb 17, 2014 #3 Ushauri ukitaka kuanza njoo nikuuzie vifaa vyangu
P Pumba Mwiko Member Joined Mar 16, 2011 Posts 71 Reaction score 8 Apr 21, 2014 #5 MTIRO said: Ushauri ukitaka kuanza njoo nikuuzie vifaa vyangu Click to expand... Vifaa vya aina gani ulivyonavyo mkuu?!! Kama vipi tuwasiliane
MTIRO said: Ushauri ukitaka kuanza njoo nikuuzie vifaa vyangu Click to expand... Vifaa vya aina gani ulivyonavyo mkuu?!! Kama vipi tuwasiliane
P Pumba Mwiko Member Joined Mar 16, 2011 Posts 71 Reaction score 8 Apr 21, 2014 #6 Biashara ni nzuro sana coz haina hasara. Japo wakati wa kuanza inahitaji mtaji wa mkubwa kidogo.
Majigo JF-Expert Member Joined Feb 23, 2012 Posts 5,519 Reaction score 1,828 Apr 22, 2014 #7 mnachotaka kujua ni nini hasa ktk hii biashara?.....maana maelezo yalishatolewa ya kutosha na wadau mbalimbali hapa!
mnachotaka kujua ni nini hasa ktk hii biashara?.....maana maelezo yalishatolewa ya kutosha na wadau mbalimbali hapa!