Msaada mwenye ufahamu zaidi ktk biashara ya saloon ya kiume.

NURDIN.HAMIS

Member
Joined
Mar 9, 2013
Posts
79
Reaction score
5
Mwenye uzoefu na biashara ya saloon za kiume anisaidie uzoefu ktk hili nataka kufungua hiyo kitu.
 
Ushauri ukitaka kuanza njoo nikuuzie vifaa vyangu
 
Biashara ni nzuro sana coz haina hasara. Japo wakati wa kuanza inahitaji mtaji wa mkubwa kidogo.
 
mnachotaka kujua ni nini hasa ktk hii biashara?.....maana maelezo yalishatolewa ya kutosha na wadau mbalimbali hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…