Habarini za shughuli,
Najua kuna watu mbali mbali humu ndani ambao tayari eidha wamewahi kufanya au kujaribu kufanya shughuli za ujasiriamali.
Nahitaji mawazo yenu na ushauri wenu
Nategemea kufungua stationary, kwa walioanzisha biashara hii ni vitu gani muhimu vya kuzingatia vifaa ninavyo pia computer ninazo saba hivi kinacho nipa shida ni eneo je jinsi gani na weza kufahamu eneo hili kwa biashara hiyo itatoka ? je naweza pata mtu nikamtumia ? navipi nikaweka na cafe maana ninazo computer za kutosha
Najua kuna watu mbali mbali humu ndani ambao tayari eidha wamewahi kufanya au kujaribu kufanya shughuli za ujasiriamali.
Nahitaji mawazo yenu na ushauri wenu
Nategemea kufungua stationary, kwa walioanzisha biashara hii ni vitu gani muhimu vya kuzingatia vifaa ninavyo pia computer ninazo saba hivi kinacho nipa shida ni eneo je jinsi gani na weza kufahamu eneo hili kwa biashara hiyo itatoka ? je naweza pata mtu nikamtumia ? navipi nikaweka na cafe maana ninazo computer za kutosha