msaada mwlm nyeler kama wametoa post jaman

umevurugwa wewe, ndo umeandika nini mbona hueleweki?
 
namaansha unversty of mwlm nyrle memorial ile ya kgmbn
 
......, pamoja na mapungufu mengi katika kuandika kwako, nimekuelewa. Chuo kinaitwa The Mwalimu Nyerere Memorial Academy.

Kuhusu unachouliza: je ni post za kazi au selection kwa wanafunzi tarajiwa.

Ikiwa ni moja kati ya hayo, jipe muda wa kusoma kile unachoandika kabla ya kupost. Utalaumu waalimu kwa makosa yako ya kisarufi. BTW, kwanini usitafute remedial class ukajifunza kuandika kiufasaha maana naona umehamasika kujifunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…