nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,624
Habarini wana jf! Mery xmass! Wakuu nina mpnz wangu ambae kwenye mfumo wa Mp hana specific time ya brid, yaani tarehe zinabadilikabadilika, mfano mwezi November alipata siku zake kuanzia tar. 14-18, halafu mwezi dec kaanza tar. 23, je nifanyeje ili niweze kumpa mimba? Maana kama nilivosema siku zake ninabadilikabadilika. Asanteni na karibuni kwa mawazo na ushauri.