kim suwon
Member
- Jul 2, 2018
- 15
- 43
Habar ndugu zangu, natokwa na uchafu mweusi ukeni nilipata shida ya kubleed nikaambiwa mtoto yupo vzr na Hamna shida yeyote ila sasa tangu Jana naona natokwa na uchafu mweusi kabsa ukeni nikienda kujisaidia na tumbo linauma chini ya kitovu cjui shida ni nn..ujauzito wangu una 16weeks
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app