Nenda umuone daktari mwingine unaweza kupata jawabu la tatizo lako.
Niliambiwa labda sababu ni ile hali ya kubleed ndio imesababisha huo uchafu, na nilipima vipimo vyote damu, ultrasound pia ilionyesha kila kitu kipo sawa, sasa nicpo kunywa maji nikienda kujisaidia nakuta hyo hali ya uchafu mweusi unatokaa
Sawa asante nashukuruNenda umuone daktari mwingine unaweza kupata jawabu la tatizo lako.
Madaktari hawafanani kiujuzi pia kitabibu
Karibu
Sijui ulienda hospitali gani ila nakushauri acha kwenda dispensary za mitaani mara kwa dr nani sijui nenda hospitali inayoaminika.
Kuna mtu nimemwuliza, mke wake alikuwa na tatizo kama lako, kasema ni hali huwa unatokea lkn hakuna shidaNiliambiwa labda sababu ni ile hali ya kubleed ndio imesababisha huo uchafu, na nilipima vipimo vyote damu, ultrasound pia ilionyesha kila kitu kipo sawa, sasa nicpo kunywa maji nikienda kujisaidia nakuta hyo hali ya uchafu mweusi unatokaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana kaka angu nashukuruKuna mtu nimemwuliza, mke wake alikuwa na tatizo kama lako, kasema ni hali huwa unatokea lkn hakuna shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamenipima ndio na majibu yalionyesha kila kitu kipo Sawa nilipoanza kubleed nikienda hospital kuonana na specialist kabisa baada ya kuchukua vipimo na damu pia mkojo majibu yalikuja sina shida yeyote nikapima ultrasound Mara mbili tena trh 11 na trh 16 mwezi huu pia ikaonekana viable sijui na mtoto yupo vzr, sema sasa ndio imebaki hii hali ya huo uchafu mweusi Jana nimeenda tena hospital nimeambiwa hamna shidaUchafu mweusi kipindi mwanamke ni mjamzito huwa ni clotting blood ambayo huonekana red ikawa haija clote akini ikiclote inakuwa dark pia viginal discharge inaweza kuletwa fungal infenctions yaan viginal candidiasis nikutokwa na uchafu ambao unarangi ya maziwa kama mgando but ikiwa kwa mda sana inaweza kuchange rangi swali inatoa harufu ...
Wamekupima VDRL kipindi cha clinics ....
Wamepina urine for analysis kurule out UTI and pelvic inflammatory diseases ....
Na wamekupa dawa gani mpka sasa ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar ndugu zangu, natokwa na uchafu mweusi ukeni nilipata shida ya kubleed nikaambiwa mtoto yupo vzr na Hamna shida yeyote ila sasa tangu Jana naona natokwa na uchafu mweusi kabsa ukeni nikienda kujisaidia na tumbo linauma chini ya kitovu cjui shida ni nn..ujauzito wangu una 16weeks
Sent using Jamii Forums mobile app