Msaada na ushauri: Anapata maumivu ya korodani kila ikifika jioni

Msaada na ushauri: Anapata maumivu ya korodani kila ikifika jioni

kamjabari

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2017
Posts
1,144
Reaction score
1,668
Siku ya pili leo analalamika kujisikia maumivu kwenye kiungo chake cha uzazi, yaani ikifika jioni kitunguu chake kimoja kinauma (pumbu) na maumivu kuelekea kwa ndani.

Kwa madaktari au wazoefu kabla ya kwenda hospitali ni nini hiyo?

Natanguliza shukrani zangu.
 
Siku ya pili leo analalamika kujisikia maumivu kwenye kiungo chake cha uzazi, yaani ikifika jioni kitunguu chake kimoja kinauma (pumbu) na maumivu kuelekea kwa ndani.

Kwa madaktari au wazoefu kabla ya kwenda hospitali ni nini hiyo?

Natanguliza shukrani zangu.
Kwa hiyo wewe ni mshauri wake kwenye hiyo idara?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Siku ya pili leo analalamika kujisikia maumivu kwenye kiungo chake cha uzazi, yaani ikifika jioni kitunguu chake kimoja kinauma (pumbu) na maumivu kuelekea kwa ndani.

Kwa madaktari au wazoefu kabla ya kwenda hospitali ni nini hiyo?

Natanguliza shukrani zangu.
LABDA KUNA UVIMBE AU KUNA INFECTION KWENYE HIYO SCROTAL BAG, NENDA HOSPITAL UKACHECK KWA ULTRA SOUND
 
Back
Top Bottom