shamika
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 200
- 26
Mimi huwa nikiumia sana basi nyama inakua pare nilipoumia yaan hii hali yanitesa sana inaniaribia mwonekano WA mwili wangu kitalamu hivi vinyama wana viita kiloidi sasa nifanyeje maana nilitakaga kwenda kufanya upasuaji watu wakanambia ndiyo vitakuja kukua zaidi je nifanyaje