Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Wakuu nimekumbana na hii post sehemu flani nikaona niiweke hapa pia. Binafsi sijui kama uke unatofautiana na kuwanyima mabinti amani kiasi hiki!
Huyu dada hapa anatiririka, "Hi dada dinah hujambo, best. Mie ninaomba ujitahidi siku moja ueke somo linaloeleza aina za uke. Huu uke kimaumbile hata kwamuonekano wake zinatofautiana, mwingine kwa kuuangalia juu juu tu unapendeza, mwingine unatisha mno.
Wengine huuonea aibu, kuuanika hata kwa wapenzi wao.hasa akitaka kizamia hasa kama mwanga upo maana yake upo kama ua, mwingine yale malabia ni marefu hadi ananinginia kama masikio ya tembo. wengine vinena kama mkate.
Mimi ni mmoja ambae uke wangu kimaumbile nauona mbaya, labia ni ndefu, na zinakaribia kufunika eneo lote mwanzo nilijua ni ugonjwa, nilimuona
Dr akaniambia ni labia ndefu.
Huyu dada hapa anatiririka, "Hi dada dinah hujambo, best. Mie ninaomba ujitahidi siku moja ueke somo linaloeleza aina za uke. Huu uke kimaumbile hata kwamuonekano wake zinatofautiana, mwingine kwa kuuangalia juu juu tu unapendeza, mwingine unatisha mno.
Wengine huuonea aibu, kuuanika hata kwa wapenzi wao.hasa akitaka kizamia hasa kama mwanga upo maana yake upo kama ua, mwingine yale malabia ni marefu hadi ananinginia kama masikio ya tembo. wengine vinena kama mkate.
Mimi ni mmoja ambae uke wangu kimaumbile nauona mbaya, labia ni ndefu, na zinakaribia kufunika eneo lote mwanzo nilijua ni ugonjwa, nilimuona
Dr akaniambia ni labia ndefu.