Dawa ya madangasika ishapatikanaInategemea na dawa
Jr[emoji769]
Itaanzia kisiwaniItaanza kugaiwa salidalama ama huku mafichoni?
Jr[emoji769]
Hapana kabisa kaka.. Sijamlenga mtu... Nimeandika tuuu kutokana na yale mang'azi ninayopitia huku kijijinihii situation ni kama ya magufuli.. nadhani unaweza kua umetumia fasihi kufikisha ujumbe, na wanaokushauri ukae hukohuko ndo wanaomponda anko wetu alie chattle!.
subalkheyr
Sent using Jamii Forums mobile app
.hii situation ni kama ya magufuli.. nadhani unaweza kua umetumia fasihi kufikisha ujumbe, na wanaokushauri ukae hukohuko ndo wanaomponda anko wetu alie chattle!.
subalkheyr
Sent using Jamii Forums mobile app