Msaada na ushauri : Nashindwa kurudi kwangu

hii situation ni kama ya magufuli.. nadhani unaweza kua umetumia fasihi kufikisha ujumbe, na wanaokushauri ukae hukohuko ndo wanaomponda anko wetu alie chattle!.

subalkheyr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii situation ni kama ya magufuli.. nadhani unaweza kua umetumia fasihi kufikisha ujumbe, na wanaokushauri ukae hukohuko ndo wanaomponda anko wetu alie chattle!.

subalkheyr

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kabisa kaka.. Sijamlenga mtu... Nimeandika tuuu kutokana na yale mang'azi ninayopitia huku kijijini

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…