Msaada na Ushauri wa haraka

Kazitunayo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2013
Posts
3,782
Reaction score
3,199
Kuna rafiki angu wa karibu sana amepata tatizo anasema akiamka asbh anakuta kuna kama usaha kwenye kichwa cha uume wake ameenda hospital ameeambiwa mkojo mchafu akachomwa sindano na kuna vidonge amepewa anatumia anasema karibia dozi inaisha lakini tatizo lipo bdo
nimejaribu kumpeleleza anasema alifanya mapenz na mkewe siku ya mwisho wakati anamaliza blid bila kujua kama bado hajamalizia vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…