Nina matatizo ya kiafya ya mifupa ya uti wa mgongo na sehemu za mabega. Tangu mwezi wa 12/2013, mara baada ya kupata ajari.
Mwezi wa 8/2014 nimeomba uhamisho ili kuwa karibu na huduma za kimatibab,Afsa Elimu Wilaya na Mkurugezi wilaya wamenikataria, licha ya kwaza,wao kulijua tatizo langu la kupata ajari.
Na nimewapelekea vielelezo vyote vya matibabu na barua ya Daktari ya kuthibitisha kuwa karibu na hospitari ya mkoa kwa ajiri ya kufanyishwa mazoezi.
Je,
1.kuna ngazi ipi ya juu ambayo naweza kusikilizwa na kusaudiwa ili hawa jamaa wanikubalie?
2.Au nifanye nini ili waniruhusu?
NAOMBA USHAURI WAKO.
Mwezi wa 8/2014 nimeomba uhamisho ili kuwa karibu na huduma za kimatibab,Afsa Elimu Wilaya na Mkurugezi wilaya wamenikataria, licha ya kwaza,wao kulijua tatizo langu la kupata ajari.
Na nimewapelekea vielelezo vyote vya matibabu na barua ya Daktari ya kuthibitisha kuwa karibu na hospitari ya mkoa kwa ajiri ya kufanyishwa mazoezi.
Je,
1.kuna ngazi ipi ya juu ambayo naweza kusikilizwa na kusaudiwa ili hawa jamaa wanikubalie?
2.Au nifanye nini ili waniruhusu?
NAOMBA USHAURI WAKO.