pole kwa changamoto,ila nenda kwa Mwanasheria akutengenezee POWER OF ATTORNEY alafu umpe ndugu yako hiyo nakala na ataweza kukuchukulia hiko cheti cha kifo cha mpendwa wenu.Habari ya majukumu,
Mimi niliomba cheti cha kifo cha mzazi, majibu yametoka ‘fika ofisi za RITA Bukoba Kagera uchukue cheti chako’, nami kwasasa niko Arusha
Naweza kufanyeje Ili nipate nakala ya cheti hicho?
Asanteni kwa msaada wenu 🙏🙏
"fika ofisi za RITA Bukoba Kagera uchukue cheti chako"
Hapo ndipo nilipochanganyikiwa. Wenzetu mnapata vyeti vya kifo in advance!
Kwahiyo kutoelewa kwangu ni tatizo?Mengine sio ya kutaka tu uonekana umeandika.. Ukipata kimya itakuwaje.. Jionee aibu..
😂😂😂😂😂😂"fika ofisi za RITA Bukoba Kagera uchukue cheti chako"
Hapo ndipo nilipochanganyikiwa. Wenzetu mnapata vyeti vya kifo in advance!
Chake yeye ndiye aliye omba....du cheti chako!!!
Ok, lakini isingewezekana kuwa cheti cha fulani ulichokuwa umekiomba!Chake yeye ndiye aliye omba.
Marehemu hajaomba cheti.
Upo sahihi.Ok, lakini isingewezekana kuwa cheti cha fulani ulichokuwa umekiomba!